Monday, May 21, 2012

SIMBA YAMUONGEZEA MKATABA PROF; CIRCOVIC

Kufuatia mafanikio mazuri aliyoyapata kocha mkuu wa wekundu wa msimbazi Prof. Milovan Circovic Club ya soka ya simba imemuongezea mkataba wa miaka miwili kukinoa kikosi hicho kuanzia sasa. Uongozi wa Simba umesema kipimo kikubwa cha kocha ni vikombe na kandanda safi ki2 ambacho wanaridhishwa na mwenendo wa timu chini ya Milovan huku akifanikiwa kumfunga mtani wa jaji mabao 5-0.

No comments:

Post a Comment