Thursday, May 24, 2012

 MH.MNYIKA ASHINDA KESI.
Mh. Mnyika ashinda kesi baada ya Jaji kuzitupili mbali hoja zote tano.



HOJA zenyewe ni hizi:
1)Kwamba Mnyika alimtuhumu kuuza nyumba za UWT
2)Kutumia Laptop za Mnyika Kuhesabu kura
3)Kuingia watu wengi wa CHADEMA ktk chumba cha kuhesabia kura
4)Kuzidi kwa kura hewa 16,000
5)Kukosewa kwa karatasi za kujumulisha kura (form)
HONGERA MH.MNYIKA, HONGERENI CHADEMA TURUDI TUTEKELEZE AHADI ZETU.

No comments:

Post a Comment