ARUSHA WASEMA MUNGU ANAJIBU MAOMBI PAPO KWA PAPO!!
BAADA YA MFUNGO WA SIKU SABA AMBAO LEO NDIO KILELE,MUNGU ATUPA ISHARA YUPO PAMOJA NASI.....
Yani walichokifanaya mahakama na ccm kwa mbunge wetu Godbless Lema ni
jambo ambalo naamini kwa maombi yale tuliyoyaanza toka jumanne ilopita
ule mfungo wetu Mungu ameusikia na leo ndio pigo la kwanza kwa
UVCCM,Sasa hiyo ni trela tu,bado tutegemee mpasuko mkubwa ndani ya
ccm.......Mungu wetu huwa anatusikiliza sana kwa maana anajua tuko
pamoja nae.......
No comments:
Post a Comment