Monday, April 16, 2012


ARUSHA WASEMA MUNGU ANAJIBU MAOMBI PAPO KWA PAPO!!
BAADA YA MFUNGO WA SIKU SABA AMBAO LEO NDIO KILELE,MUNGU ATUPA ISHARA YUPO PAMOJA NASI.....
Yani walichokifanaya mahakama na ccm kwa mbunge wetu Godbless Lema ni jambo ambalo naamini kwa maombi yale tuliyoyaanza toka jumanne ilopita ule mfungo wetu Mungu ameusikia na leo ndio pigo la kwanza kwa UVCCM,Sasa hiyo ni trela tu,bado tutegemee mpasuko mkubwa ndani ya ccm.......Mungu wetu huwa anatusikiliza sana kwa maana anajua tuko pamoja nae.......

No comments:

Post a Comment